@Eng_Matarra

Father| Mineral Processing Engineer| Human Right Activist| Paralegal |Member @ChademaTz | @ManUtd | Boss Himself | StoryTeller| 430'2023|WhatsApp +255719542184

Serengeti, Tanzania
Joined July 2020
NANI ALIYEMUUA SOKOINE? #UZI 🔲Mnamo April 12, 1984 ilikuwa ni siku mbaya sana ktk Taifa letu na haitosahaulika kwa Watanzania. Siku hiyo tulimpoteza kijana makini aliyekuwa Waziri Mkuu EDWARD MORINGE SOKOINE, aliyefariki kwa ajali mbaya ya gari eneo la Wami-Dakawa (Morogoro).
131
884
35
2,193
#Tshs 1,300,000/= SINORAY KALI SANA 🔥🔥 REG" #DCR IPO DAR (Mikoani Tunatuma) CALL/WHATSAPP-0793022184
5
691
#Tshs 2,850,000/= USIENDE DUKANI NJOO HUKU BOXER HD 125 🔥🔥 REG" #FMN ▪️Cc. 125 ▪️Gear -5 ▪️Starter jino moja ▪️Engine Haimjui fundi ▪️Haijafanya bodaboda ▪️Imetunzwa vizuri sana ▪️Inakuja Full Documents✅️ IPO DAR (Mikoani Tunatuma kwa uaminifu) CALL/WHATSAPP-0793022184
1
3
533
JAPHET MATARRA retweeted
#TajiriLaKihaya Hoja yako ina sehemu muhimu, Haki inaweza kucheleweshwa na momentum ya kisiasa inaweza kubadilika. Lkn hapa ndipo nadhani hoja yako inahitaji kujengwa upya. Siku zote kucheleweshwa kwa haki si ushahidi kwamba mapambano yameshindwa. Nakujibu kwa mifano 👇 1/7
#TajiriLaKihaya Kama unaamini Tanzania kuna HAKI, basi unaweza kuwa unajiandaa kwa “shock” kubwa. Kwanza, Tundu Lissu amekuwa mahabusu tangu Aprili 2025 akishtakiwa kwa uhaini kesi ambayo bado inaendelea… Lakini swali langu si tu Lissu atahukumiwa au ataachiwa? Swali ni,ikiwa mchakato utaendelea kucheleweshwa mpaka muda ambao uchaguzi mwingine umepita, nani atakuwa ameshinda? Kwa sababu haki iliyocheleweshwa inaweza kupoteza maana yake kisiasa, hata kama mwisho wa siku hukumu itatolewa. Na tusijidanganye kuhusu kelele za mitandaoni… Tumewahi kuona watu wakipotea, wakikamatwa au kuuawa; mitandao ikajaa hasira kwa siku kadhaa, hashtags zikapanda, watu wakaomba likes na reposts 200 ili post iende mbali halafu kimya. Mdude Nyagali, ali kibao, soka,Tesha,Polepole…nk Hivyo tusije tukajipa faraja kwamba “Lissu akihukumiwa, nchi haitakaa kimya.” Really? What exactly will happen? Raia wataandamana? CHADEMA itachukua hatua gani? Jamii ya kimataifa itafanya nini zaidi ya statements? Na sisi kwenye mitandao tutafanya nini zaidi ya kupost mara mbili tatu kuomba watu wa-repost na kusema tufanye hii post ifike mbali? 😂 Hili si suala la Lissu pekee. CHADEMA, kama kuna njia yoyote ya kisheria, kisiasa na kidiplomasia ya kuhakikisha Lissu anapata haki na uhuru wake kwa wakati, itumike sasa. Tusisubiri hukumu ndipo tuanze kujiuliza tulipaswa kufanya nini. Let’s save Lissu kwa njia halali, yenye mkakati na yenye matokeo. Swali la mwisho… Unadhani Lissu akihukumiwa kifungo cha maisha au adhabu ya kifo, nini hasa kitafanyika? Je, tutasimama na kuchukua hatua? Au tutapiga kelele mitandaoni kwa siku chache, halafu maisha yataendelea kama kawaida kama ilivyotokea kwa wengine? Hili ni swali ambalo CHADEMA, wapinzani, wanaharakati na kila Mtanzania anayejali haki anapaswa kujiuliza sasa, si baada ya hukumu. Maana huko mahakamani kutegemea Lissu atapata Haki ni kujidanganya waziwazi…
17
28
1
99
5,745
#Tshs 1,100,000/= BOXER BM 125 🔥🔥 REG" #DVH ▪️Cc. 125 ▪️Gear -5 ▪️Starter jino moja ▪️Engine Haijaguswa ▪️Imetunzwa vizuri ▪️Full Documents ✅️ IPO DAR (Mikoani Tunatuma kwa uaminifu) CALL/WHATSAPP-0793022184
1
1
402
#Tshs 1,350,000/= BOXER DOMO 125 🔥🔥 REG" #D ▪️Cc. 125 ▪️Gear -5 ▪️Starter jino moja ▪️Engine Haijaguswa ▪️Haijafanya boda ▪️Imetunzwa vizuri ▪️Full Documents ✅️ IPO DAR (Mikoani Tunatuma kwa uaminifu) CALL/WHATSAPP-0793022184
2
3
564
#Tshs 1,880,000/= SINORAY GEAR-6 🔥🔥 REG" #EXX ▪️Cc. 180 ▪️Gear -6 ▪️Starter jino moja ▪️Engine Haijaguswa ▪️Imetunzwa vizuri sana ▪️Inakuja Full Documents ✅️ IPO DAR (Mikoani Tunatuma kwa uaminifu) CALL/WHATSAPP-0719542184
2
12
738
JAPHET MATARRA retweeted
#Tshs 1,550,000/= TVS HLX NEW GIA 5🔥🔥 REG" #ERC ▪️Cc. 125 ▪️Gear -5 ▪️Starter jino moja ▪️Engine Haijaguswa ▪️Haijafanya bodaboda ▪️Imetunzwa vizuri sana ▪️Hutengenezi chochote ▪️Inakuja Full Documents ✅️ IPO DAR (Mikoani Tunatuma kwa uaminifu) CALL/WHATSAPP-0793022184
1
6
618
JAPHET MATARRA retweeted
#Tshs 1,850,000/= HONDA ACE 125 🔥🔥 REG" #ELL ▪️Cc. 125 ▪️Gear -4 ▪️Starter jino moja ▪️Engine Haijaguswa ▪️Haijafanya bodaboda ▪️Imetunzwa vizuri sana ▪️Inakuja Full Documents ✅️ IPO DAR (Mikoani Tunatuma kwa uaminifu) CALL/WHATSAPP-0793022184
1
1
2
589
JAPHET MATARRA retweeted
#Tshs 1,350,000/= TVS HLX GIA 5 🔥🔥 REG" #EQQ ▪️Cc. 125 ▪️Gear -5 ▪️Starter jino moja ▪️Engine Haijaguswa ▪️Haijafanya bodaboda ▪️Imetunzwa vizuri sana ▪️Inakuja Full Documents ✅️ IPO DAR (Mikoani Tunatuma kwa uaminifu) CALL/WHATSAPP-0719542184
1
3
593
JAPHET MATARRA retweeted
#Tshs 650,000/= TVS STAR HLX GIA 4 🔥🔥 REG" #CEZ ▪️Cc. 125 ▪️Gear -4 ▪️Starter inapiga ▪️Engine Kinanda ▪️Hutengenezi kitu ▪️Imetunzwa vizuri sana ▪️Inakuja Full Documents ✅️ IPO DAR (Mikoani Tunatuma kwa uaminifu) CALL/WHATSAPP-0719542184
1
1
2
387
JAPHET MATARRA retweeted
#Tshs 2,550,000/= TVS STAR HLX GIA 4 🔥🔥 REG" #FKL ▪️Cc. 125 ▪️Gear -4 ▪️Starter jino moja ▪️Engine Haijaguswa ▪️Haijafanya bodaboda ▪️Imetunzwa vizuri sana ▪️Inakuja Full Documents ✅️ IPO DAR (Mikoani Tunatuma kwa uaminifu) CALL/WHATSAPP-0793022184
1
355
#Budget 16.8m TOYOTA PRADO 120 🔥🔥 REG" #AUX ▪️Cc 2680 ▪️Full Ac 🌨 ▪️Engine-3Rz ▪️Push To Start ▪️Petrol⛽️ Auto ▪️Sport Rims 🛞 ▪️Android Tv 🖥 🎶 ▪️Leather seats 💺 ▪️Full Documents ✅️ ▪️All Duties & Tax paid IPO DAR CALL/WHATSAPP-0719542184 Exchange Allowed ✅️
5
1
15
1,069
Kingine hata #Mahatma_Gandhi hakufanya mapambano ya uhuru wa India kama project ya siku chache. Alitumia miongo ya mobilization, civil resistance na political organizing kabla ya India kupata uhuru mwaka 1947.
#TajiriLaKihaya Kama unaamini Tanzania kuna HAKI, basi unaweza kuwa unajiandaa kwa “shock” kubwa. Kwanza, Tundu Lissu amekuwa mahabusu tangu Aprili 2025 akishtakiwa kwa uhaini kesi ambayo bado inaendelea… Lakini swali langu si tu Lissu atahukumiwa au ataachiwa? Swali ni,ikiwa mchakato utaendelea kucheleweshwa mpaka muda ambao uchaguzi mwingine umepita, nani atakuwa ameshinda? Kwa sababu haki iliyocheleweshwa inaweza kupoteza maana yake kisiasa, hata kama mwisho wa siku hukumu itatolewa. Na tusijidanganye kuhusu kelele za mitandaoni… Tumewahi kuona watu wakipotea, wakikamatwa au kuuawa; mitandao ikajaa hasira kwa siku kadhaa, hashtags zikapanda, watu wakaomba likes na reposts 200 ili post iende mbali halafu kimya. Mdude Nyagali, ali kibao, soka,Tesha,Polepole…nk Hivyo tusije tukajipa faraja kwamba “Lissu akihukumiwa, nchi haitakaa kimya.” Really? What exactly will happen? Raia wataandamana? CHADEMA itachukua hatua gani? Jamii ya kimataifa itafanya nini zaidi ya statements? Na sisi kwenye mitandao tutafanya nini zaidi ya kupost mara mbili tatu kuomba watu wa-repost na kusema tufanye hii post ifike mbali? 😂 Hili si suala la Lissu pekee. CHADEMA, kama kuna njia yoyote ya kisheria, kisiasa na kidiplomasia ya kuhakikisha Lissu anapata haki na uhuru wake kwa wakati, itumike sasa. Tusisubiri hukumu ndipo tuanze kujiuliza tulipaswa kufanya nini. Let’s save Lissu kwa njia halali, yenye mkakati na yenye matokeo. Swali la mwisho… Unadhani Lissu akihukumiwa kifungo cha maisha au adhabu ya kifo, nini hasa kitafanyika? Je, tutasimama na kuchukua hatua? Au tutapiga kelele mitandaoni kwa siku chache, halafu maisha yataendelea kama kawaida kama ilivyotokea kwa wengine? Hili ni swali ambalo CHADEMA, wapinzani, wanaharakati na kila Mtanzania anayejali haki anapaswa kujiuliza sasa, si baada ya hukumu. Maana huko mahakamani kutegemea Lissu atapata Haki ni kujidanganya waziwazi…
4
6
29
1,270
Strategy huwa inaanza kabla ya hukumu. Lakini pia tusijenge strategy juu ya assumption kwamba hukumu fulani lazima itokee. Muhimu sana na tunachoweza kudai ni mchakato wa haki, unaofuata sheria na unaoheshimu haki za msingi. Au nikuulize swali moja unisaidie kujibu👇
1
1
70
Ikiwa tatizo ni haki kuchelewa, je tuache kudai haki kwsbb matokeo yatachelewa? History teaches us one thing.. A delayed struggle is not necessarily a failed struggle. Sometimes, the real test of a move'ment is whether it can remain principled when the results are'nt immediate.
2
65
#TajiriLaKihaya Hoja yako ina sehemu muhimu, Haki inaweza kucheleweshwa na momentum ya kisiasa inaweza kubadilika. Lkn hapa ndipo nadhani hoja yako inahitaji kujengwa upya. Siku zote kucheleweshwa kwa haki si ushahidi kwamba mapambano yameshindwa. Nakujibu kwa mifano 👇 1/7
#TajiriLaKihaya Kama unaamini Tanzania kuna HAKI, basi unaweza kuwa unajiandaa kwa “shock” kubwa. Kwanza, Tundu Lissu amekuwa mahabusu tangu Aprili 2025 akishtakiwa kwa uhaini kesi ambayo bado inaendelea… Lakini swali langu si tu Lissu atahukumiwa au ataachiwa? Swali ni,ikiwa mchakato utaendelea kucheleweshwa mpaka muda ambao uchaguzi mwingine umepita, nani atakuwa ameshinda? Kwa sababu haki iliyocheleweshwa inaweza kupoteza maana yake kisiasa, hata kama mwisho wa siku hukumu itatolewa. Na tusijidanganye kuhusu kelele za mitandaoni… Tumewahi kuona watu wakipotea, wakikamatwa au kuuawa; mitandao ikajaa hasira kwa siku kadhaa, hashtags zikapanda, watu wakaomba likes na reposts 200 ili post iende mbali halafu kimya. Mdude Nyagali, ali kibao, soka,Tesha,Polepole…nk Hivyo tusije tukajipa faraja kwamba “Lissu akihukumiwa, nchi haitakaa kimya.” Really? What exactly will happen? Raia wataandamana? CHADEMA itachukua hatua gani? Jamii ya kimataifa itafanya nini zaidi ya statements? Na sisi kwenye mitandao tutafanya nini zaidi ya kupost mara mbili tatu kuomba watu wa-repost na kusema tufanye hii post ifike mbali? 😂 Hili si suala la Lissu pekee. CHADEMA, kama kuna njia yoyote ya kisheria, kisiasa na kidiplomasia ya kuhakikisha Lissu anapata haki na uhuru wake kwa wakati, itumike sasa. Tusisubiri hukumu ndipo tuanze kujiuliza tulipaswa kufanya nini. Let’s save Lissu kwa njia halali, yenye mkakati na yenye matokeo. Swali la mwisho… Unadhani Lissu akihukumiwa kifungo cha maisha au adhabu ya kifo, nini hasa kitafanyika? Je, tutasimama na kuchukua hatua? Au tutapiga kelele mitandaoni kwa siku chache, halafu maisha yataendelea kama kawaida kama ilivyotokea kwa wengine? Hili ni swali ambalo CHADEMA, wapinzani, wanaharakati na kila Mtanzania anayejali haki anapaswa kujiuliza sasa, si baada ya hukumu. Maana huko mahakamani kutegemea Lissu atapata Haki ni kujidanganya waziwazi…
17
28
1
99
5,745
Kama tunataka haki Tunahitaji ushahidi, sheria, advocacy, pressure ya kitaifa na kimataifa, taasisi, organization na consistency. Why? Kwasababu historia haikumbuki tu wale waliopaza sauti wakati wa crisis. 6/7
1
12
560
Historia inawakumbuka pia wale walioweza kuendelea kupigania principle hata pale matokeo yalipoonekana kuchelewa. Hivyo tusifanye kuchelewa kwa haki kuwa sbb ya kupunguza nguvu ya kudai haki. Kuchelewa si kushindwa Na hukumu si mwisho wa historia bro. Usitukatishe tamaa bro🤔
5
1
27
564